Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Yeeees Rosa MistikaUngangari na uchuma cha Mjerumani ulimwanzia wapi huyo mke? Ni nini kilitokea mpaka akaachana na haiba yeke njema iliyompambanua wakati wa ujana wake? Au tuwalaumu mabaharia waliomngangarisha? Naam! Maisha na mapenzi - mnyororo wenye pingili nyingi. Ua waridi lenye fumbo. Rosa Mistika!
View attachment 2188727



Mambo yangu haya,zile heavy weight namwachia SYB




Duh mwenzangu utoto huu
We hiyo picha hujaelewa, hiyo sura sio kwamba kanuna analetewa vyombo.. Hiyo picha huyo dada anapigwa muchinga eneo la jikoni, tendo la kikubwa linaendelea hapo![]()

Si kweli.Kweli au si kweli?View attachment 2188787
"Ukitaka uinjoi maisha kwa mwanaume get yourself a mid-range Yutong...."Shemeji,kapumzike![]()






If you don't gerrit forget abourrityou gerrit?View attachment 2189401

Hakuna shida ndugu yangu. Wewe pata kitu ile roho inapendaMambo yangu haya,zile heavy weight namwachia SYB![]()


