Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,032
- 4,394
hakuna mkokoteni unaokamilka kwa 50000
hakuna mkokoteni unaokamilka kwa 50000
Mwana kuyataka......NJOMBE: Mganga wa kienyeji aitwaye Joseph Mgunda (41) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwaua Suzana Mtitu (38) na Kassim Kitamkanga (35) baada ya dawa ya utajiri aliyowapa kuonekana haifanyi kazi
Anadaiwa kuwaahidi wateja wake utajiri
Soma - Njombe: Wawili wauawa na Mganga wa kienyeji
#JFLeoView attachment 2108897
Mbna mnanifumba?Weee! Huenda n kweli......![]()
hakuna mkokoteni unaokamilka kwa 50000
Who?Rest in peace in advance![]()