Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1631549582251.jpg
 
Kuna wengine wembamba mnazidisha. Jifunzeni kubakisha vinyama nyama angalau...na ka msambwanda kawepo . Siyo mtu unakuwa mwembamba yaani mifupa mitupu! Mwanamke wa Kiafrika kwa kweli hapaswi kuwa hivyo!
View attachment 2108120
daah eti jifunzeni, na kamsambwanda kawepo...hivi mnajuaga tunajiumba eti?
 
Kitu kimoja ambacho wanaume tunajidanganya ni kwamba wanawake wanaridhika na dushe moja....wao ni binadamu kama sie wana curiosity na hisia kama zetu so wee kaa ukijua naona wanataka kuonja onja
Mimi naamini wapo wanaoridhika mkuu, mbona kuna hata wanaume zipu zao zimefungwa vizuri tu hawana mambo mengi! Japo watakuwa wachache sana
 
Back
Top Bottom