Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
Ina maana Njombe Mgendera kila mtu ana hela au inakuwaje? Ila Wakinga kwa biashara nawaaminia [emoji122][emoji122][emoji122]Unakosa hela wakati ni mzaliwa mkoa wa Njombe?
Unafeli wapi madam.
Fursa kibaaao[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtafute mshauri wa masuala ya Uchumi mkoani humo Dr Mwandilami jr[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]