[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo hilo dongo linawahusu wawili hao, au linamuhusu mwenye uzi tu?mawardat
Mshana Jr
hii comment nimeitoa mbali sana na nilicheki nusu ya kifo
Jukwaa ili huwa napita kila siku ila kimya kimya
View attachment 2103097
Waafrika bwana. Yaani tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana!
Hamna kitu hapo...hata kama analo huyu litakuwa gumu sana...
Ipo karibu na kwetu karibu utembee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo pesa kamanda [emoji16][emoji16][emoji16]Kwani nawe si uvae ubaharia ukatembeze moto tu.
Hakuna namna, usikubali kudhulumu nafsi yako wakati kitoto kipo kamanda
Daaah kama bafu letu
Hata mimi sielewi