Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20220131-WA0510.jpg
 
Heri mimi nisiye na umaarufu [emoji3063][emoji3063]
Ujinga mtupu[emoji15][emoji15]
Wanamcheka sana. Mara mtoto. Mara umasikini...kazi kweli kweli. Inaonekana hata yeye hakuwa makini kwa sababu kuna kipindi alikuwa anavuma sana. Na wenzake akina Uwoya mbona bado wanatamba tu na bata za kufa mtu? Yeye alikosea wapi?
 
Uko kama mimi. Tangu nizaliwe nilishanunua mara moja tu tena zamani na kwa kulaghaiwa. Washikaji walinibeba eti twende huku tukakuonyeshe mambo tukakata kona hapa na pale kuja kushtuka tuko majumba saba kwa Wahaya nikaambiwa ingia pale kuna kabinti kapya kapya ndo kamekuja hela hii hapa. Nikaingia kwa shingo upande lakini....mpaka leo sijawahi kununua aisee [emoji16][emoji16]
Makosa hayo ya uvulana wengi tumepita.

Ila hivi sasa eti uniambie twende Jolie, Concord, Keys Hotel, Ambiance, Masakuu, Le Grande!!
Hapana
 
[emoji16][emoji16][emoji16] mimi sio ubahili...unaweza kubahilia hela ambayo huna?
Unakosa hela wakati ni mzaliwa mkoa wa Njombe?
Unafeli wapi madam.
Fursa kibaaao[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtafute mshauri wa masuala ya Uchumi mkoani humo Dr Mwandulami jr[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Back
Top Bottom