Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622



hakyanani...ndio maana sipakagi



hakyanani...ndio maana sipakagi


Njombe Mgendera unapafahamu? Kuna nini huko mpaka pamelengwa na meme lords?hakyanani...ndio maana sipakagi
Aaaa kuuziana tenaTatizo pesa kamanda
Dola 500 kwa lisaa limoja ni parefu sana!






Uko kama mimi. Tangu nizaliwe nilishanunua mara moja tu tena zamani na kwa kulaghaiwa. Washikaji walinibeba eti twende huku tukakuonyeshe mambo tukakata kona hapa na pale kuja kushtuka tuko majumba saba kwa Wahaya nikaambiwa ingia pale kuna kabinti kapya kapya ndo kamekuja hela hii hapa. Nikaingia kwa shingo upande lakini....mpaka leo sijawahi kununua aiseeAaaa kuuziana tena
Kununua mbususu naonaga kinyaa aisee.


Inaonekana ndio jina la mtaa peekee wanalolijua...hakuna maajabu yoyoteNjombe Mgendera unapafahamu? Kuna nini huko mpaka pamelengwa na meme lords?
Huu unaitwa upekepeke.Kuna ishu gani na Wema?
View attachment 2103183





Umeshatoa jibu lako hapo juu. Acha na wengine wajaribu![]()


usijifanye hujaona jibu langu...nilianza mimiCorrect. Kama kweli unaitaka hii nyekundu ya Msimbazi lete details PM nikurushie. Nitakuongezea na kabakhshishi kidogo sababu ya urafiki wetu wa kawaida wa siku nyingi



Ubahili aiseeHata mimi sielewi
Ulisoma Linguistics?Syntax
Nisiitake kwa nini sasa nakujaa nifungulie mlangoCorrect. Kama kweli unaitaka hii nyekundu ya Msimbazi lete details PM nikurushie. Nitakuongezea na kabakhshishi kidogo sababu ya urafiki wetu wa kawaida wa siku nyingi![]()




Heri mimi nisiye na umaarufuYeye ni celebrity. Na ucelebrity una gharama zake. Kumlinganisha na wanawake wa kijijini si sawa...Ukiwa public figure ni lazima usemwe - kwa mema au mabaya!
View attachment 2103185




Eeeh Advanced level, hata chuo nilitamani sana nikasome sema ndio hivyo nikakorogaUlisoma Linguistics?