Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1643353828808.jpg
 
VICHAA WATATU walikuwa wanasafirishwa kutoka Iringa kwenda {Hospitali} Dodoma walipokuwa njian kundi la SIMBA likapita katikati ya barabara

DOCTOR akawauliza: nyie
Mmewaona SIMBA hao?

kichaa mmoja akacheka Ahaa! kisha akasema Kumbe hawa ndio simba?

DOCTOR: akajibu ndio simba

KICHAA wapili akasema kwaiyo pale chama na kagere wapo wapi.?

DOCTOR: Duuh! kweli huyu ndio kichaa haswaa

KICHAA wa tatu yeye alitabasamu baada ya kusoma sms hii.
Pumbaaaaaav
 
Nchi inapitia magumu sana,Imagine sasahivi tumeletewa Urio tena
CCM kitakapoachana na siasa za mitandao, makundi na ukanda, kitakuwa chama bora zaidi ambacho kitaiweka nchi kwenye nafasi stahiki.

Nasema hivyo kwasababu hivi sasa kwa kutumia siasa hizo kinajikuta kinajenga na kubomoa, kinajenga na kubomoa, kinajenga na kubomoa hadi utimilifu wa dahari. Sijajuwa kama labda aina ya siasa hizi ndiyo inafanya kiendelee kutamalaki nchi?
 
Back
Top Bottom