Nchi inapitia magumu sana,Imagine sasahivi tumeletewa Urio tenaCCTV footageView attachment 2097185

Kuna watu wakitoa hela yao kwa ajili ya huduma basi watafanya watakavyo hata kama uharibifu,ndio kama huyoAtakuwa wa mkoa gani huyu
anatuharibia ndinga yetu mpya kabisa kitu cha E kabisaView attachment 2097303
Good afternoon za mchana.
Zifuatazo ni sheria na kanuni alizovunja kwa kitendo hiki:
Alizeti au masega ya nyuki wa Tabora?
Ni kweli, huyu si ni mhitimu wa SUA.
Huyu siyo spotlight tena ya Mahakama, anasubiria hukumu mid 2025.
Nyota ngapi hiyo? Five Star au?
Hii itakuwa wametoka KasuluHuku kwetu ni bora kufika salama tuView attachment 2097301
Jamaa yupo vzr kwenye kuelekezaUkiona haelewiView attachment 2097095