Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,567
Pole Sana ankali,vunilia katika kipindi hiki kigumu


Pole Sana ankali,vunilia katika kipindi hiki kigumu


VICHAA WATATU walikuwa wanasafirishwa kutoka Iringa kwenda {Hospitali} Dodoma walipokuwa njian kundi la SIMBA likapita katikati ya barabaraThe chicken thinks it is eating for free. But it doesn't know it is being fattened for slaughter.
This post is not about chickens.





HahahahaMama mkwe anafanya nini Lodge?
View attachment 2097962

Aa wapi.. kanda ya ziwa moja hiyoSongea hiyo. Nakuapia!

Naungana na mchangiaji wa kwanza kwenye mstari wa mwisho
Watu wana maneno khaaa!
Mungu azidi kuzibana akili zangu uwezo wake uwe ni wa kuwaza hapa hapa Mwakaleli.Ni mawingu. Yaani ni tumbo moto mpaka likitua ndiyo unapumua. Huwa siamini kabisa kama linaweza kubakia angani kwa masaa 15 non stop. Mzungu mtu wa ajabu sana.
Kwema huko?


)Shwaini zakoVICHAA WATATU walikuwa wanasafirishwa kutoka Iringa kwenda {Hospitali} Dodoma walipokuwa njian kundi la SIMBA likapita katikati ya barabara
DOCTOR akawauliza: nyie
Mmewaona SIMBA hao?
kichaa mmoja akacheka Ahaa! kisha akasema Kumbe hawa ndio simba?
DOCTOR: akajibu ndio simba
KICHAA wapili akasema kwaiyo pale chama na kagere wapo wapi.?
DOCTOR: Duuh! kweli huyu ndio kichaa haswaa
KICHAA wa tatu yeye alitabasamu baada ya kusoma sms hii.![]()




Imekuwaje hadi wameshona sare?
Hapa lazima afiche bakuli lake