Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

The chicken thinks it is eating for free. But it doesn't know it is being fattened for slaughter.

This post is not about chickens.
VICHAA WATATU walikuwa wanasafirishwa kutoka Iringa kwenda {Hospitali} Dodoma walipokuwa njian kundi la SIMBA likapita katikati ya barabara

DOCTOR akawauliza: nyie
Mmewaona SIMBA hao?

kichaa mmoja akacheka Ahaa! kisha akasema Kumbe hawa ndio simba?

DOCTOR: akajibu ndio simba

KICHAA wapili akasema kwaiyo pale chama na kagere wapo wapi.?

DOCTOR: Duuh! kweli huyu ndio kichaa haswaa

KICHAA wa tatu yeye alitabasamu baada ya kusoma sms hii.
 
IMG-20220128-WA0110.jpg
 
Ni mawingu. Yaani ni tumbo moto mpaka likitua ndiyo unapumua. Huwa siamini kabisa kama linaweza kubakia angani kwa masaa 15 non stop. Mzungu mtu wa ajabu sana.

Kwema huko?
Mungu azidi kuzibana akili zangu uwezo wake uwe ni wa kuwaza hapa hapa Mwakaleli.
Mungu ni mwema ndugu yangu, tupo vizuri.
Uwe na alfajiri njema.
Kila upandapo sali kwa imani yako,hata kama ni ya kisukuma Muumba wako atakusikia,sawa shemeji?
(Nilikuaga lakini sisi wanyaki ni kawaida kuongeza maongezi huku gari linatembea,hata pale Songwe tunaipungia ndege na maneno juu ya maombi)
 
VICHAA WATATU walikuwa wanasafirishwa kutoka Iringa kwenda {Hospitali} Dodoma walipokuwa njian kundi la SIMBA likapita katikati ya barabara

DOCTOR akawauliza: nyie
Mmewaona SIMBA hao?

kichaa mmoja akacheka Ahaa! kisha akasema Kumbe hawa ndio simba?

DOCTOR: akajibu ndio simba

KICHAA wapili akasema kwaiyo pale chama na kagere wapo wapi.?

DOCTOR: Duuh! kweli huyu ndio kichaa haswaa

KICHAA wa tatu yeye alitabasamu baada ya kusoma sms hii.
Shwaini zako
 
Back
Top Bottom