Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Jamaa kafungwa mdomo dah! 





AbeeeeeeKumbe tuko wengi tunaopenda hili itikio. Tena ngoja nijaribishe:
Mtumishiiiii!
View attachment 2079879




Waifu matirio huyo asikwambie mtu. Wa aina hii hakuna steresi wala gubu. Ni vicheko tu ndani ya nyumba japo na ngumi ziko nje nje!Huyo kaka anavyoshangaa![]()

Kwa vile siyo Msukuma, sina tatizo naye![]()


nimewaza ila ikabidi nimezeeDah! Moyo wangu tulia usukume damu mengine waachie walimwenguAbeeeeee![]()







Uliwaza kuwa pengine ni Msukuma? Ushindweeenimewaza ila ikabidi nimezee




Mie najikamatisha mwenyewe

Nini siri nyuma ya itikio "abee"?
Mie siweziUtataka tu. Utakwenda wapi?
View attachment 2078801
It is just exceptionally sexy...hasa binti akiwa na sauti tamu ya chiriku yenye besi kwa mbali uwiiiNini siri nyuma ya itikio "abee"?











Naomba kiatuKwenye ubora wangu![]()

Yu kanti bi fogiven fo zat. Hau cud u tania mama Mchungaji?It is just exceptionally sexy...hasa binti akiwa na sauti tamu ya chiriku yenye besi kwa mbali uwiii
Mama Mchungaji nimekuzoea sana. Itabidi nipunguze matani wallahi nisije nikakukwaza bure. Pulizi fogivu mi![]()



Kwakweli,wengine hatujui kupika,kuhaibishana tu
