MmmmhKwa wanaume ni angalau mara 21 kwa mwezi!
View attachment 2079489
Nimekoma Mama Mchungaji...Yu kanti bi fogiven fo zat. Hau cud u tania mama Mchungaji?![]()

HallelujahMwamed ameokokaView attachment 2080069

Acha tu, ex wangu anatumiaga haka kamsemo kananikosha sana, kananipa moyo kuna siku tutapasha kiporo tuKumbe tuko wengi tunaopenda hili itikio. Tena ngoja nijaribishe:
Mtumishiiiii!
View attachment 2079879


Huo mguu ulivyo mrefu hivyo akitembea ni kama ana "slap" ardhi
