Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
[emoji15][emoji15][emoji15]
Then,sijui ndo ilikuwa ili iweje[emoji16][emoji16][emoji16]...wahenga tulikiwa na ujinga mwingi sana aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseee[emoji23]Ameonywa ameifuta! [emoji16][emoji16]
View attachment 2074880
Maana unaweza kula ugali ki- D'salaam ukaonekana huwezi kula, hivyo huwezi kumfikisha juu ya kilele bint yao[emoji23][emoji23][emoji23]Siyo lazima umalize. Actually huwezi kumaliza...ila itabidi uonyeshe juhudi na maarifa...[emoji16]
View attachment 2074890
Ela aka hela inanunua mapenzi barani Afrika[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kapigwa naloUnahangaika nini?
View attachment 2074495
Naitafuta[emoji1419]
Umri unavyokwenda kwangu,ndivyo ninavyozidi kuyachukia madera
Vipi chura anapungua kadri umri unavyosonga ama unachoka kulishika huku ukiwa watembeaUmri unavyokwenda kwangu,ndivyo ninavyozidi kuyachukia madera
Jiangalie sana bro. I am watching you closely [emoji15]MSU-K [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2075253
Kusema kweli inabidi ule. Tena ule hasa. Usipokula yaweza kuonekana pengine umewadharau hawajui kupika, unaona pengine mazingira ni machafu, unajiona na sababu zingine kibao. Kama huna uwezo wa kula ugali angalau basi ule nyama. Kawaida ni mbuzi utachinjiwa au kuku mzima mzima kila mara utakapokwenda ukweni mpaka baadaye sana utakapozoeleka. Kama huwezi kula mwambie mkeo/mchumba wako akakutetee huko kwa wapikaji!Maana unaweza kula ugali ki- D'salaam ukaonekana huwezi kula, hivyo huwezi kumfikisha juu ya kilele bint yao[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimewaza tu.
Unaweza ukakosa mke kwa mlo tu
[emoji23][emoji23][emoji23] jamani kwani kataja mtu? Labda anamaanisha msukule?Jiangalie sana bro. I am watching you closely [emoji15]
View attachment 2075255
Hii n bangi ya wapi, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....
Nawajua hawa usimtetee. Anamaanisha Msukuma huyu. Msukule hata anaujua basi? Hawa ni kuwawahi asubuhi na mapema kabla hawajazoea. Kuwa Msukuma ni mapambano! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] jamani kwani kataja mtu? Labda anamaanisha msukule?
Hahaha[emoji23][emoji23]Jiangalie sana bro. I am watching you closely [emoji15]
View attachment 2075255
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] n mwili huo huo baraka[emoji1787][emoji1787]Mwili upi? [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2074907
Ndiye [emoji106]Malota Soma?
Huyu mwalimu siyo mchezoWalimu wa siku hizi ni shida [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2075215View attachment 2075216View attachment 2075217View attachment 2075218