Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako


IMG_20220109_083453_575.jpg
 
Maana unaweza kula ugali ki- D'salaam ukaonekana huwezi kula, hivyo huwezi kumfikisha juu ya kilele bint yao
Nimewaza tu.
Unaweza ukakosa mke kwa mlo tu
Kusema kweli inabidi ule. Tena ule hasa. Usipokula yaweza kuonekana pengine umewadharau hawajui kupika, unaona pengine mazingira ni machafu, unajiona na sababu zingine kibao. Kama huna uwezo wa kula ugali angalau basi ule nyama. Kawaida ni mbuzi utachinjiwa au kuku mzima mzima kila mara utakapokwenda ukweni mpaka baadaye sana utakapozoeleka. Kama huwezi kula mwambie mkeo/mchumba wako akakutetee huko kwa wapikaji!
66869383.jpg
 
Back
Top Bottom