Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,376
Then,sijui ndo ilikuwa ili iweje


...wahenga tulikiwa na ujinga mwingi sana aisee


Aiseee

Maana unaweza kula ugali ki- D'salaam ukaonekana huwezi kula, hivyo huwezi kumfikisha juu ya kilele bint yaoSiyo lazima umalize. Actually huwezi kumaliza...ila itabidi uonyeshe juhudi na maarifa...
View attachment 2074890



Ela aka hela inanunua mapenzi barani Afrika






Kapigwa naloUnahangaika nini?
View attachment 2074495
Umri unavyokwenda kwangu,ndivyo ninavyozidi kuyachukia madera
Vipi chura anapungua kadri umri unavyosonga ama unachoka kulishika huku ukiwa watembeaUmri unavyokwenda kwangu,ndivyo ninavyozidi kuyachukia madera
Jiangalie sana bro. I am watching you closely

Kusema kweli inabidi ule. Tena ule hasa. Usipokula yaweza kuonekana pengine umewadharau hawajui kupika, unaona pengine mazingira ni machafu, unajiona na sababu zingine kibao. Kama huna uwezo wa kula ugali angalau basi ule nyama. Kawaida ni mbuzi utachinjiwa au kuku mzima mzima kila mara utakapokwenda ukweni mpaka baadaye sana utakapozoeleka. Kama huwezi kula mwambie mkeo/mchumba wako akakutetee huko kwa wapikaji!Maana unaweza kula ugali ki- D'salaam ukaonekana huwezi kula, hivyo huwezi kumfikisha juu ya kilele bint yao
Nimewaza tu.
Unaweza ukakosa mke kwa mlo tu


jamani kwani kataja mtu? Labda anamaanisha msukule?Nawajua hawa usimtetee. Anamaanisha Msukuma huyu. Msukule hata anaujua basi? Hawa ni kuwawahi asubuhi na mapema kabla hawajazoea. Kuwa Msukuma ni mapambano!jamani kwani kataja mtu? Labda anamaanisha msukule?



Hahaha





n mwili huo huo baraka

NdiyeMalota Soma?

Huyu mwalimu siyo mchezoWalimu wa siku hizi ni shida
View attachment 2075215View attachment 2075216View attachment 2075217View attachment 2075218