



inaskitisha sanaaa, yaan kadhulumiwa..ndge mjanja hunasa kwny tundu bovuHaya mzee wa Kinyantuzu ngoma ishapigwa hiyo.
Hivi huo ugali na mapochocho yake ukiwa kwenye mazingira ya kutambulishwa ukweni ni lazima umalize?
Ameonywa ameifuta!Haya mzee wa Kinyantuzu ngoma ishapigwa hiyo.
Kachukue fomu sasa ukalie kiti


Siyo lazima umalize. Actually huwezi kumaliza...ila itabidi uonyeshe juhudi na maarifa...Hivi huo ugali na mapochocho yake ukiwa kwenye mazingira ya kutambulishwa ukweni ni lazima umalize?



