Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Watu bado hawajifunzi tu kushadadia shadadia vitu ovyo na hujui kesho huyo mtu unayemsema utakutana nae wapi...alimsema diamond mwisho wa siku kaja kumuomba ugali huyo huyo hajifunzi tu umbwa huyu
Huyu Diva ni Msanii wa fani gani mkuu?
Maana hawa wasanii wa hapa nyumbani siwakubali aise
Nadhani aliyesema Nabii hakubaliki kwao hajakosea. MNISAMEHE
Nani huyo jomba
 
Kusema kweli inabidi ule. Tena ule hasa. Usipokula yaweza kuonekana pengine umewadharau hawajui kupika, unaona pengine mazingira ni machafu, unajiona na sababu zingine kibao. Kama huna uwezo wa kula ugali angalau basi ule nyama. Kawaida ni mbuzi utachinjiwa au kuku mzima mzima kila mara utakapokwenda ukweni mpaka baadaye sana utakapozoeleka. Kama huwezi kula mwambie mkeo/mchumba wako akakutetee huko kwa wapikaji!
View attachment 2075258
Mpka nmehis njaa ghafla, sema huo ugali hapana rang yake inanikatsha tamaa.....
 
Maisha yanaenda kasi sana.
Huyu mmiliki wa bastora sijui yuko wapi siku hizi?View attachment 2074911
Huyu kwanza anahamishwa anapelekwa Mafia akifika anaambiwa Barua ilikosewa ni Ukerewe, kule Ukerewe anaambiwa mshahara haujaja file liko Itilima. Itilima anapewa Barua ya kufukuzwa kazi Kwa kosa la kutoripoti kazini
 
Lord give me discernment; to see, to know to understand, that i may not be led astray again IJN
Tumblr_l_399097632999785.gif
 
Back
Top Bottom