Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1641710809606.jpg
 
Daah poleni sana Mtumishi. Muendelee tu na hizo dawa mnazotumia + kumonitor hiyo homa; naamini na yeye atakaa tu sawa kwa neema ya Mungu. And shuleni najua tu atafidia fasta akirudi; Mungu azidi kufanya uponyaji kwake, akapate afya; na wewe uzidi kuimarika Tunawaombea
Sikuona Mtumishi wangu mwema. Nisamehe! Sikupuuzia

Ukweli ni kwamba nimeimarika sana. Hata jogging zangu za asubuhi nimezianza. Sema tu mwili bado haujakaa sawa. Uchovu mno na tamaa ya kulala so I am taking it easy. Sema tu mwenzangu yeye bado kidogo. Anatapika sana na homa ya kupanda na kushuka. Ila kula anakula so kwa hilo tunamshukuru Mungu. Atakuwa nyumbani kwa siku 10!

Nyie huko vipi? Hamjambo?

Wewe ni lulu yenye thamani sana katika shimo la takataka na uliletwa hapa duniani ili kuwatia moyo wasafiri wote wenye mioyo iliyopondeka katika ile safari ndefu ya kujisaka na kujitafuta. May God continue blessing that blessed broken road...that led me straight to ......
 
Back
Top Bottom