Kwa mfano ikitokea amekufa ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya huyo mwanaume
Hiki ndiyo kitu warembo wengi wanakililia

.


N msabato huyuuu

N kwamba mabshoo s waoaji

Sikuona Mtumishi wangu mwema. Nisamehe! Sikupuuzia
Ukweli ni kwamba nimeimarika sana. Hata jogging zangu za asubuhi nimezianza. Sema tu mwili bado haujakaa sawa. Uchovu mno na tamaa ya kulala so I am taking it easy. Sema tu mwenzangu yeye bado kidogo. Anatapika sana na homa ya kupanda na kushuka. Ila kula anakula so kwa hilo tunamshukuru Mungu. Atakuwa nyumbani kwa siku 10!
Nyie huko vipi? Hamjambo?
Wewe ni lulu yenye thamani sana katika shimo la takataka na uliletwa hapa duniani ili kuwatia moyo wasafiri wote wenye mioyo iliyopondeka katika ile safari ndefu ya kujisaka na kujitafuta. May God continue blessing that blessed broken road...that led me straight to ......
![]()
Kuna muda wanawake siwaelewagi, wanataka usawa wakipewa nafas wanalalama.
Teh teh teh teh





The elitesWahuni...they're back!
View attachment 2074073