Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Wallah,eti kusubiri kuolewa

Kuongezeana miaka hiyo veeep?
Huwa najiuliza hivyo navyo ni vituko au basi tu ilimradi!! Nakereka basi tu.Ndiyo. We si ndiyo unawekaga mambo ya siasa humu. Mi nilikuwa nakuunga mkono tu. Sipendi siasa kwa moyo wangu wote!




Ili uende wapi? Tulia malizana na interview then kale ushibe.Naachana na hiyo interview...
View attachment 2065300
Hivi tecno zetu ziliwakosea nini?
Una utani na akina wolupa!
Apone kwa haraka aisee!Huyu mzee anaumwa