Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1641098997248.jpg
 
Mkoa wa Njombe umeingia katika rekodi ya kutoa mwana CCM mwenye 'ujasiri' wa kusema Spika Ndugai hana adabu! Hii ndiyo Bongoland! Vituko mtindo mmoja!
Nimemuona huyo jamaa. Hazijui siasa zinavyofanya kazi. Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu, you don't take things personal na upepo unaweza kubadilika wakati wo wote. Bado!
 
Back
Top Bottom