Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako



Ndiyo maana hata wazungu walipofika Afrika waliita karibu kila kitu katika utamaduni wetu kuwa ni cha kijinga...

Si tamaduni zote zinaendekeza ngono kama mtu mweusi kamanda. Japan huko na hata baadhi ya nchi za Scandinavia ni kawaida kila couple kuwa na chumba chake au kitanda chake. Wana mambo mengine ya kuwaza/kufanya badala ya kugegedana tu
Mhm hizo somjo hamna watu duniani wanaendekeza ngono kama wadhungu....cheki porn industry inavyopepeta ulimwenguni.
 
So kwa mujibu wa Papa Mungu hayuko siriaz sometime
Screenshot_20211211-085857-1.jpg
 
Mhm hizo somjo hamna watu duniani wanaendekeza ngono kama wadhungu....cheki porn industry inavyopepeta ulimwenguni.
Wazungu nimeishi nao sana nawajua in and out. Hata robo hawatufikii katika kudinyana...

Porn industry ni biashara ya mabilioni na wale wako vizuri sana kwenye biashara. Na wote unaowaona kwenye porn ni waajiriwa halali sawa tu na wacheza sinema wa Hollywood. Haina uhusiano na ethnic group.
 
Back
Top Bottom