Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Hapana bwana wasukuma zao viazi na ugali sio mahindi. Wanayakyusa na mahindi sasa loh .
Nmewaza mbaaaaali sana mwishowe nmekuelewa sana hv je kuna haja ya kuunganisha dot au hapanaHawa jamaa linapokuja swala la kugegedana huwa siwaamin saaaaana, haitonishangaza siku moja tukiambiwa huyo mkubwa wao nae anagegedwa![]()
Niliquote ishu ya papa lkn imekuja kavukavu ndio maana inaleta mkanganyikoNmewaza mbaaaaali sana mwishowe nmekuelewa sana hv je kuna haja ya kuunganisha dot au hapana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Taratibu Binadamu wanaanza kuambiana ukweli...So kwa mujibu wa Papa Mungu hayuko siriaz sometimeView attachment 2040116
Ona ulikoenda sasa. Hata haina uhusiano na mada yetu ya vyakula. Hoooooovyooo!Hapana bwana wasukuma zao viazi na ugali sio mahindi. Wanayakyusa na mahindi sasa loh .
Wasukuma zao ni hiziView attachment 2040362


