Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

motte_memes~p~CW4uuN9qPmW~1.jpg
 
Bado naikumbuka sawia
Siku ile yenye pambazuko jema
Dunia yako na yangu zilipopishana
Katika konde la ujana wetu
Mgusano ule wa miali mikali
Uliwasha mioto katika mitima yetu

Njoo ewe binti mwema wa watu
Uliyelelewa katika bonde la hekima
La yule mzee mpole aliyekupenda sana
Njoo tukumbatiane katika baridi hii kali
Mpaka walimwengu watakapotughasi
NERF Nakusubiri!

View attachment 2039992
Hahaha mashairi na vina BTW
Screenshot_20211211-073533.jpg
 
Bado naikumbuka sawia
Siku ile yenye pambazuko jema
Dunia yako na yangu zilipopishana
Katika konde la ujana wetu
Mgusano ule wa miali mikali
Uliwasha mioto katika mitima yetu

Njoo ewe binti mwema wa watu
Uliyelelewa katika bonde la hekima
La yule mzee mpole aliyekupenda sana
Njoo tukumbatiane katika baridi hii kali
Mpaka walimwengu watakapotughasi
NERF Nakusubiri!

View attachment 2039992
Huyu mwanmke vipi tena analalaje na chupi wakati yupo na kidume kitandani
 
Mwee tamaduni ya kijinga hiyo mwanamke na mwanaume kitandani hawatakiwi kuwa na kyupi unless mrembo yuko period


Ndiyo maana hata wazungu walipofika Afrika waliita karibu kila kitu katika utamaduni wetu kuwa ni cha kijinga...

Si tamaduni zote zinaendekeza ngono kama mtu mweusi kamanda. Japan huko na hata baadhi ya nchi za Scandinavia ni kawaida kila couple kuwa na chumba chake au kitanda chake. Wana mambo mengine ya kuwaza/kufanya badala ya kugegedana tu
 
Back
Top Bottom