Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379
Tatizo la Afrika wala siyo mabeberu bali ni Waafrika wenyewe. Pambafu 


lazma atapiga ile sauti yke...haaaaa!!!



Malaika wako kila mahali na wako katika umbo la binadamu halafu wako watu wema pia katikakati ya wajivuniTulikua mwenge stend ya zaman jamaa alidondoka kifafa.
kilikua kipind cha mvua vidume wote tulimkimbia mshkaj kwa dhana kwamba akijamba ushuz wake ukiupata haruf anakuambukiza,
akatokea mdada modo kajitanda vzr tu muonekano wa visiwan akamfunika na mwamvul yule jamaa mpaka alipopata fahamu,
binafs nilijiona dhaif mno hata mdada kanishinda ujasir.


Bagamoyo port loading. Them Chinese are ruthless....
Baby una ugomvi naye