Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Tatizo la Afrika wala siyo mabeberu bali ni Waafrika wenyewe. Pambafu
JamiiForums567471404.jpg
 
Tulikua mwenge stend ya zaman jamaa alidondoka kifafa.
kilikua kipind cha mvua vidume wote tulimkimbia mshkaj kwa dhana kwamba akijamba ushuz wake ukiupata haruf anakuambukiza,
akatokea mdada modo kajitanda vzr tu muonekano wa visiwan akamfunika na mwamvul yule jamaa mpaka alipopata fahamu,
binafs nilijiona dhaif mno hata mdada kanishinda ujasir.
Malaika wako kila mahali na wako katika umbo la binadamu halafu wako watu wema pia katikakati ya wajivuni
 
Back
Top Bottom