Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20211119-WA0002.jpg
 

Kwa sasa hivi niko huku Sudan Kusini kwa hawa watu, aisei wana sura ngumu sana na ukiwa mwoga mwoga hata kutoka nje utaogopa, ila ni wakarimu pia japo usijifany mjuaji, unaendana nao tu freshi.
Wenyewe wametokea maporini kwenye mavita vita, wakiznguana huliamsha popote, na hata kumzaba askari polisi kibao sio tabu kwao.
 
Back
Top Bottom