Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1637252161137.jpg
 
Nimemkumbuka ingawa kwenye ubunifu wa picha hakuwa peke yake.
Pamoja naye kulikuwa na mkongwe aliyejulikana kwa jina la Philip Nduguru RIP.
Ndugu Mbajo baadaye alianzisha jarida lake ambalo hata hivyo halikutamba.
Baadaye alipata kazi kwenye Kanisa moja hapa mjini akiwa kama msemaji wa Askofu.
Amepotea muda mrefu kwenye tasnia ya majarida
 
Back
Top Bottom