Kama ni mjanja na mautajiri yake aliyonayo, huu ndo wakati wa kusepa kwenda Ubelgiji.


Ubelgiji akakutane na jamaa yule

Inaitwa Kata funua...


Wale majambazi yalivyopanik ndio unagundua kweli hawako kwa maslahi ya taifa ila matumbo yao.
Umasikini mbaya sana, waleti gani kwanza!!!
A point of no return

Jina tu la mwezi linaanza na NO, tahadhari kabla ya hatari.




Leo hapa kuna wengine watasinzia hapo hapo...utoto raha sana!
Kama ni Msukuma mbona kawaida tu? Umemuonea


Hakuna mzalendo hapo. Kuna mchumia tumbo tu....