Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,236
- 31,197








Kwangu imefunguka, mambo yako mulumule kama uyapendayo. It's a clip, limechangamka flani hivi.Picha haijafunguka
....Kama mpirani vile, Ukiwa jukwaani unakosoa kwelikweli.
Kama huna mtaji, utaishia kuwaita mashemejiiii.
Wanataka kazi za mkanda nje!
Kuchizishwa na smartphone!
Ha haaaaa haaa. Ndio maana nikaweka into brackets. Maana nlijua wengi hamtoona ndani.Seredani
Ila nyie ndo wenye Kiswahili chenu wengine tumedandia tu![]()

