Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Haswaaa...
IMG_1636843437165.jpg
 
Una bahati huendeshi ma Yutong. Yutong ya ukweli ukijichanganya ukabebeshwa mamiguu namna hiyo utachemsha...now I see why you prefer hungry emaciated galz
Hata hizo Yutong once in a while nikikutana nazo huwa nalazimisha hiyo lakini wengi wao hawako flexible ila wengine wana uwezo wa kujikunja sawa tu na wale slender.
Yale mabonge mavivu huwa yanakera sana.
 
Misplaced anger. Kamata lifisadi limoja lililotajwa kwenye ripoti ya CAG, visha matairi shingoni, mwagia petroli halafu piga kiberiti. Hela lilizoiba zingetumika kwa lengo lililokusudiwa pengine zingemsaidia huyu mwizi wa kuku asiwe hivyo. Tukianza kuchoma mafisadi itasaidia sana wallahi...
Fact, tatizo liko kwa 'nani wa kumvalisha paka kengele'.
Hao lawmakers ndiyo mijizi/mifisadi iliyokubuhu hivyo pa kuanzia ni pagumu mno.
 
Back
Top Bottom