Mbona kama unapaka makasiliko kwani uongo?2come![]()
Hivi rukia16 ulishaga wahi ku selfika kwenye ule uzi wetu pendwa?
Kwani kifua na hizo six packs ndo zina niniliu?

Kawa mcharooooh, km 20s bhana, anaita bado.



Hazinaniliu ila zinashawishi kutaka kujua yaliyomo yamo??Kwani kifua na hizo six packs ndo zina niniliu?
Hizo mambo ni vivutio tu wala hazina mchango wowote kwenye mgegedo
Kwema lakini mkuu
Imeshatumwa sana hapa jamvini. Tafuta mpya.