Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_0771.jpg
 
Hili swali ni la kiboya sana na halipaswi kuulizwa...na hata likiulizwa linapaswa kujibiwa kwa uangalifu sana. Naliandikia uzi kabisa ili niwachane wanaume wenzangu waache kuliuliza; na niwape mwongozo wa kisaikolojia mabinti jinsi ya kulijibu.

Kila mwanaume anatamani sana binti anayekutana naye (hasa kama lengo lake siyo kumla tu na kusepa) awe hajaguswa (hata kama yeye kagusa kila kona). Kutokana na premise hii, hata kama angepewa namba ndogo kwa kadri inavyowezekana, bado ataumia tu. Sasa akikutana na hawa mabinti wa kisasa hawa ambao hawajafundwa, atapewa mpaka saizi ya mshedede wa ex, alivyokuwa anapelekewa moto na ex mpaka anaona rangi rangi, jinsi alivyokuwa anajaribu kuifinyia kwa ndani anashindwa...na utopolo mwingine. Kama lengo la brod ni kula tu basi atabaki ili naye apige halafu asepe lakini kama ni muoaji anaweza kudhurika jumla akaona hapa hakuna kitu hapa...

Nitakutag mtumishi mwema uzi ukikamilika
Daawa-Ilmu-Darsa
Swadakta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka Guardiola alipewa Barcelona akitokea Timu B ya Barcelona na akafanya makubwa hapo Catalonia.
Gianluca Vialli ambaye alikuwa mchezaji, alipewa Chalsea ambayo naye ameisaidia kiasi cha kutosha.
Kuna makocha kadha walipewa timu wakiwa hawana mataji walikotokea, wakapata mataji kwenye timu zao mpya.
Vinginevyo mnaweza kumuajili kocha mwenye mafanikio mengi alikotokea lakini kwako akachemsha.
Mfano wa hivi karibuni muangalie Jose Morinho.
Ameshindwa kuinyanyua Man United na hakufurukuta akiwa na Tottenham Hotspur.
Hopefully Xavi atarejesha furaha Barcelona, visca Barca.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom