Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20211109-090337_Telegram.jpg
 
Sijakataa kuwa kwenye mpira mi ni mweupe japo si sana. Ila,narudia tena,kocha ni pamoja na mafanikio.

Kuna zile,kaifikisha timu hii hatua fulani,kachukua kombe fulani,nk.

Mfano Pitson wa Al Ahly,anaenda pale kutoka Mamelodi,kawafanyia nini Mamelodi hadi Al Ahly wakamuona!?
Kumbuka Guardiola alipewa Barcelona akitokea Timu B ya Barcelona na akafanya makubwa hapo Catalonia.
Gianluca Vialli ambaye alikuwa mchezaji, alipewa Chalsea ambayo naye ameisaidia kiasi cha kutosha.
Kuna makocha kadha walipewa timu wakiwa hawana mataji walikotokea, wakapata mataji kwenye timu zao mpya.
Vinginevyo mnaweza kumuajili kocha mwenye mafanikio mengi alikotokea lakini kwako akachemsha.
Mfano wa hivi karibuni muangalie Jose Morinho.
Ameshindwa kuinyanyua Man United na hakufurukuta akiwa na Tottenham Hotspur.
 
Back
Top Bottom