Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Ngoja na ww siku wakutumie za aina hyoHuyu mum n shidaaa![]()
Labda alambe kwa nyuma or awe na kiberiti cha gas.
Kumbuka Guardiola alipewa Barcelona akitokea Timu B ya Barcelona na akafanya makubwa hapo Catalonia.Sijakataa kuwa kwenye mpira mi ni mweupe japo si sana. Ila,narudia tena,kocha ni pamoja na mafanikio.
Kuna zile,kaifikisha timu hii hatua fulani,kachukua kombe fulani,nk.
Mfano Pitson wa Al Ahly,anaenda pale kutoka Mamelodi,kawafanyia nini Mamelodi hadi Al Ahly wakamuona!?
Tangu mwaka 1992 anatembea na motoKuna vitu mwanaume hawezi amini asilani abadanii,mpaka ahakikishe kwa vipimo vyake maalumView attachment 2004535

