Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,236
- 31,197
Hakuna kama baba 😍
AmenNa tuseme "Amin"View attachment 2003429
Kwan ule msemo wanasema "ng'ombe haelemewi na nundu/ pembe zake/lake" huwa n uongo!🤨🤨
Kilihusu nn jameni.......
Yan usithubutu kukutwa asee, acha kabsa "kula mbakishie baba" yaan unapigwa na haukomi bado unang'ang'ana hahahahah zaman watu tulikuwa wavumilivu 🤣Kula mbakishie babaView attachment 2003470
Ni inahusiana na nn.............
Zao limekubaliView attachment 2003478
Hahahahhhhah n mmarangu huyu, et hana mbele wala nyuma jaman.......hawa walipewaga rangi na vsura s haba
S n kweli mnavyokuwaga, wanasema mwsho wa mawindo mbwa hana thamani..........😂😂😂😂
Wacha weeeeh
Hahaha mie nilikuwa nadundwa na nilivyokuwa libongeYan usithubutu kukutwa asee, acha kabsa "kula mbakishie baba" yaan unapigwa na haukomi bado unang'ang'ana hahahahah zaman watu tulikuwa wavumilivu![]()

Hii imenikumbusha juz nlikamatwa naendesha lori na sna leseni pale bago, loooh nlivurugwa jaman nilichanganyikiwa..........nlikaa lisaa limoja dooh! Hatmaye nkatoka woi walijua kunijambisha wale matrafkiSina leseni[emoji3064
Wanaojua hawasemiKilihusu nn jameni.......
S kwa huyu married jaman
I'll be back as i am 😎.........Mtuambie jamaniView attachment 2003602
Wangekukunja na kukuweka kwenye pochiHii imenikumbusha juz nlikamatwa naendesha lori na sna leseni pale bago, loooh nlivurugwa jaman nilichanganyikiwa..........nlikaa lisaa limoja dooh! Hatmaye nkatoka woi walijua kunijambisha wale matrafki

Sawa tuu nmeachwa(Mungu amrehem huko aliko) na mama aliyenileta kwny hii dunia sembuse yy.........😎😎Yaani kuachanaView attachment 2003601