Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Just accept kuwa kuchapiwa hakuepukiki and live in peace. Mtaua watoto wa watu mpaka lini?
View attachment 2003158

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
Kunjua roho
2991846_Screenshot_20211107-093539_Instagram.jpg
 
Namba moja 1
mwalimu wa hesabu alikuwa ananiumiza sana kichwa anaandika ubao mzima bila maelezo kama anafundisha ma genius, afu watu wengine sifaaa eti wanaelewa
,ukimuuliza vipi mwalimu mbona hatujaelewa,anajibu Mtaeleweni tu ninyi daaah!,popote alipo yule Msukuma(Basu) namsalimu kwa jina la jamhuri.

Ilifika wakati ilibidi niwe napishana naye mlangoni anaingia mi natoka

Anauliza ..... Unaenda wapi

Me,kupunga upepo Mwl

Mwl,unaona mi nanuka

Aaaaa sigeuki nyuma.
 
Back
Top Bottom