Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Siwezi kuhama mastress nayatia kapuni
FB_IMG_16363089609271423.jpg
 
Namba moja 1
mwalimu wa hesabu alikuwa ananiumiza sana kichwa anaandika ubao mzima bila maelezo kama anafundisha ma genius, afu watu wengine sifaaa eti wanaelewa
,ukimuuliza vipi mwalimu mbona hatujaelewa,anajibu Mtaeleweni tu ninyi daaah!,popote alipo yule Msukuma(Basu) namsalimu kwa jina la jamhuri.

Ilifika wakati ilibidi niwe napishana naye mlangoni anaingia mi natoka

Anauliza ..... Unaenda wapi

Me,kupunga upepo Mwl

Mwl,unaona mi nanuka

Aaaaa sigeuki nyuma.
Ulipata nini kwenye NECTA? Bado unachukia hesabu?
 
Back
Top Bottom