Njoo uncle nakusubiriAnkali sijambo
Nakuja kula dinner kwenu leo
Lakini huyu dada amejaaliwa rangi nyeupe, akifika usukumani anagombewa huyuHuyu kimbaumbau bado siamini kama anaweza kupika ugali wa Kisukuma nikala nikashiba
View attachment 2003338




Walisombwa na mafurikoHuyu kimbaumbau bado siamini kama anaweza kupika ugali wa Kisukuma nikala nikashiba
View attachment 2003338
Zote zlikonga moyo wangu 😎
Kama ni Kanda ya ziwa, basi itakuwa tulisoma wote shule moja. Maana na mm bweni langu ndio lilikuwa linaitwa hivyoNdiyo lilikuwa linaitwa hivyo