Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383




Yaani kwa pesa hiyo simu kama yangu,ni pesa nyingi hadi ya bando la mwaka mzima yabaki








Sukuma gangJiji la miambaView attachment 2001564
Sawa Mkuu,nimekuelewa.Usisahau kwamba kwenye sheria yenye kufuata miiko na haki za kila raia' haya mapungufu unayoyaita vipande yanaweza kubadili kabisa hukumu. Kosa dogo tu kwenye maelezo hufanya asiye haki apewe haki.
Stop with these gangs and cartels....Sukuma gang














