Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16361074707875526.jpg
 
Nionavyo mimi Mbowe anaweza pigwa miaka ya kutosha watu mkabaki kushangaa.

Hizi habari zinakuja za upande mmoja tu,tena zinaoonesha mapungu ya mashahidi. Hakuna anayeleta habari za mashahidi pindi wanapotoa ushahidi konki.

Ushabiki unaweza sababisha siku ya hukumu watu wasiyaamini masikio yao.
Sidhani kama kwenye ushahidi kinachosemwa ni hivi vipande tu mnavyotuletea mitandaoni.

Tisubiri,muda utaongea.
Usisahau kwamba kwenye sheria yenye kufuata miiko na haki za kila raia' haya mapungufu unayoyaita vipande yanaweza kubadili kabisa hukumu. Kosa dogo tu kwenye maelezo hufanya asiye haki apewe haki.
 
Back
Top Bottom