Diwali n nn, naomba kueleweshwa![]()
Ahsante kwa ufafanuzi..........
Wabeja ngole!Ahsante kwa ufafanuzi..........
Kumbeee,..........n kwel asee, sema yapasa muishi nasi kwa akili.

maana naona maana tabia zenu zinafanana sanaUkimwangalia mpinzani wako mara nyingi tunaangalia mapungufu yake tun hicho tu alichokiona kwny tv jana.............


Miaka 75 ya umri lakini ukimwangalia kama andaeitini.
Huyo ni kufuta namba yake hapo hapo na kula block ya maana ...uko msibani yy anataka utume na ya kutolea
Hii nimecheka sana aisee,afu hao watu kwa kuwasema wenzao kwamba wanapenda kulala, wakati wao wamenunua mpaka mapajama kuonesha kwamba wapo serious na usingizi![]()



