Enzi hizo Kiongozi kujilimbikizia Mali ilikuwa ni aibu kubwa.
Double chabo.
Hii kitu kuna mtu alikuwa akiniambia yaaan hiv hiv haikupita week sm ikavunjika kioo, hahhahahahaha nkampeleka kariakooo aseee hakuweza kununua kioo mpka leo sasa hiv anatumia tecno anasema inapiga picha vzuryalimkuta kwa kweli


pole yakeBado kama ngapi hivi ninunue kama yakoYaani kwa pesa hiyo simu kama yangu,ni pesa nyingi hadi ya bando la mwaka mzima yabaki![]()


