Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Na vp km mdai ataamua kumuweka chumba cha uan ktk nyumba yake na kumgharamia mahitaj yote mpaka kifungo chake kitakapoisha
Mdaiwa kama hana mali zinazofanana na deni lake mdai anaruhusiwa kumpa kazi za kufanya kwa muda maalum ambao mahakama itauridhia ili kufidia madeni ya muhusika.
Kwahiyo unaweza kumpeleka nyumbani kwako akaoshe vyombo, afagie nyumba, afue nguo za familia nk.
Ikiwa kazi za aina hiyo mathalani mshahara ni 300,000 kwa mwezi.
Zitapigwa hesabu kutokana na deni unalodai.
Atafanya mpaka hela anayodaiwa imalizike.
Kwa huyu mwanaharakati huru anaweza kujikuta kwenye mazingira hayo kama atashindwa kuwalipa Membe na Fatma Karume.
Tujitahidi kuheshimu watu hata kama mbele yako kuna Kigogo anayeweza kukulinda kwa wakati huo.
Maana sheria haina ulinzi wa kigogo
 
.
IMG_20210930_082227.jpg
 
Mwanamke wa Kizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, analivaa dela bila nguo ya ndani mbele yako, unazidiwa anakupa kitu fresh unatoka unatabasamu.

Mwanamke wa Kitanga:
Unampa hela anapika vitu Mtaa mzima unasikia harufu ya Chakula, Chenji inayo baki ananunua kinga, ukirudi unakula afu unakula..

Mwanamke wa Kihaya:
Unampa hela, ukirudi unakuta Majirani wote wanataarifa kuwa wewe uliacha hela, anakupikia vitu vizuri, usiku anakuhudumia, ukimsifia anakuhudumia tena, hata mara nne kwa usiku mmoja..we mpe sifa tu.

Mwanamke wa kinyakyusa...unampa hela ya kununua sagaa...unarudi unakua nyama ya kuku...kesho huachi hela,unarudi unakuta nyama,ugali,matunda na mazagazaga kama yote...unaamua kutokuacha pesa maana kila ukirudi unakuta mazagazaga ya bure...siku unarudi home unamkuta yupo na mgeni...anakwambia ni mjomba ake..

Mwanamke wa Kichaga:
Unampa hela anaenda ananunua Dagaa, anapika na Michuzi Mingi mpaka Dagaa Wanafufuka, unakula kwa shida, Dagaa wanakula Utumbo wako, Unakufa.. Madaktari wanajitahidi wanakutibu Unafufuka, ukiwa hujapata akili vizuri, anakuletea Bili ya Maji, anakukumbusha deni la kwa Masawe, anakukumbusha Kodi ya Nyumba.. Unashikwa na Presha, unakufa moja kwa moja.
Hahaha
Umezoeshwa kula vya bure vya mnyakyusa, baada kuzoea unaletewa nyumbani mtu anayekununulia
Shabash
 
Back
Top Bottom