Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Utanioa? Nikuoe ili iweje? [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
-6017053529212041007_121.jpg
 
Matembele kutoka Meru KenyaView attachment 1980631
Nimekaa gheto moja miaka 2-3 na mwanangu mmoja wa kisomali hivi around 2012,alikuwa anakula hii kitu siku zote 365/365 lkn sikuwahi kushawishika kula hii,thnx God[emoji120]

Mida hii naandika hii comment ndo mida yake ya kuamka anoga[emoji370],anaswali[emoji2969]swala zote zilizompita,anakula[emoji492],akimaliza anaenda kutafuta zaga...awe na hela asiwe nayo atapata tu.

Akirudi gheto saa mbili usiku anasaga gomba[emoji263]mpk alfajiri,anaoga[emoji370]anaswali[emoji2969],anakula[emoji492],analala[emoji932](REPEAT)[emoji24]
 
Nimekaa gheto moja miaka 2-3 na mwanangu mmoja wa kisomali hivi around 2012,alikuwa anakula hii kitu siku zote 365/365 lkn sikuwahi kushawishika kula hii,thnx God[emoji120]

Mida hii naandika hii comment ndo mida yake ya kuamka anoga[emoji370],anaswali[emoji2969]swala zote zilizompita,anakula[emoji492],akimaliza anaenda kutafuta zaga...awe na hela asiwe nayo atapata tu.

Akirudi gheto saa mbili usiku anasaga gomba[emoji263]mpk alfajiri,anaoga[emoji370]anaswali[emoji2969],anakula[emoji492],analala[emoji932](REPEAT)[emoji24]
Huo unaitwa uraibu.. Hilo jani limeondoka na ndugu yangu wa damu na rafiki wa utotoni..RIP Tino.. Kansa ya paa la kinywa.. Mzigo ulikuwa haubanduki mdomoni
 
Back
Top Bottom