Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Utanioa? Nikuoe ili iweje?
-6017053529212041007_121.jpg
 
Matembele kutoka Meru KenyaView attachment 1980631
Nimekaa gheto moja miaka 2-3 na mwanangu mmoja wa kisomali hivi around 2012,alikuwa anakula hii kitu siku zote 365/365 lkn sikuwahi kushawishika kula hii,thnx God

Mida hii naandika hii comment ndo mida yake ya kuamka anoga,anaswaliswala zote zilizompita,anakula,akimaliza anaenda kutafuta zaga...awe na hela asiwe nayo atapata tu.

Akirudi gheto saa mbili usiku anasaga gombampk alfajiri,anaogaanaswali,anakula,analala(REPEAT)
 
Nimekaa gheto moja miaka 2-3 na mwanangu mmoja wa kisomali hivi around 2012,alikuwa anakula hii kitu siku zote 365/365 lkn sikuwahi kushawishika kula hii,thnx God

Mida hii naandika hii comment ndo mida yake ya kuamka anoga,anaswaliswala zote zilizompita,anakula,akimaliza anaenda kutafuta zaga...awe na hela asiwe nayo atapata tu.

Akirudi gheto saa mbili usiku anasaga gombampk alfajiri,anaogaanaswali,anakula,analala(REPEAT)
Huo unaitwa uraibu.. Hilo jani limeondoka na ndugu yangu wa damu na rafiki wa utotoni..RIP Tino.. Kansa ya paa la kinywa.. Mzigo ulikuwa haubanduki mdomoni
 
Back
Top Bottom