Umeibuka. Jana tulikuwa tunakusema kuwa una tabia ya kuibukia kwenye topiki zenye utataKuipata koneksheni yake ina masharti? Natamani kuionamo shemeji






Maisha yote !!Nimekaa gheto moja miaka 2-3 na mwanangu mmoja wa kisomali hivi around 2012,alikuwa anakula hii kitu siku zote 365/365 lkn sikuwahi kushawishika kula hii,thnx God![]()
Mida hii naandika hii comment ndo mida yake ya kuamka anoga,anaswali
swala zote zilizompita,anakula
,akimaliza anaenda kutafuta zaga...awe na hela asiwe nayo atapata tu.
Akirudi gheto saa mbili usiku anasaga gombampk alfajiri,anaoga
anaswali
,anakula
,analala
(REPEAT)
![]()
Aseee, pole.Huo unaitwa uraibu.. Hilo jani limeondoka na ndugu yangu wa damu na rafiki wa utotoni..RIP Tino.. Kansa ya paa la kinywa.. Mzigo ulikuwa haubanduki mdomoni
Cheers kamanda














DahEm toa jibu kama wewe ndo ungekuwa Messi...View attachment 1981002

Hahahaha... UrodaIla sijui utamu upiii!!View attachment 1981036