Hakuwa na kazi!Nimekaa gheto moja miaka 2-3 na mwanangu mmoja wa kisomali hivi around 2012,alikuwa anakula hii kitu siku zote 365/365 lkn sikuwahi kushawishika kula hii,thnx God![]()
Mida hii naandika hii comment ndo mida yake ya kuamka anoga,anaswali
swala zote zilizompita,anakula
,akimaliza anaenda kutafuta zaga...awe na hela asiwe nayo atapata tu.
Akirudi gheto saa mbili usiku anasaga gombampk alfajiri,anaoga
anaswali
,anakula
,analala
(REPEAT)
![]()
Hakuwa na kazi,ndo wale wasomali waliokuwa wanasubiri kwenda ulaya.Hakuwa na kazi!
Natumai yupo mtoni sahivi.Hakuwa na kazi,ndo wale wasomali waliokuwa wanasubiri kwenda ulaya.
Aaah wapi,machale yamemcheza kaona afanye mambo mengine.Natumai yupo mtoni sahivi.
Mama ndio yupi kwanza teh teh... Though limekaa kizalilishaji hilo bango.Em toa jibu kama wewe ndo ungekuwa Messi...View attachment 1981002
Aisee kwa hii age group kapatia sana. Karibu kila mmoja unayekutana naye analia kupotezewa muda na njemba iliyopiga mbususu kwa miaka 3+ halafu ikasepa na ikamvurugia mipango ya kuolewa kabla ya kuvuka 30. Wana uchungu na hasira hao usiombe. Ukideti nao be careful kwa sababu hawataki tena kupotezewa muda...View attachment 1980888
View attachment 1980889
View attachment 1980890
View attachment 1980891
View attachment 1980892
View attachment 1980893
View attachment 1980894
Upande wangu si kwel na aliefanya hiv analake jambo
Huyu Tiwa Savage ni nani? Nimeona anapelekewa moto si wa kitoto japo kweli ka Clip ni kafupi. Yaani ndo kaanza tu kuisikilizia na clip ndo inakata. Hovyooo!!!




Kuipata koneksheni yake ina masharti? Natamani kuionamo shemejiHuyu Tiwa Savage ni nani? Nimeona anapelekewa moto si wa kitoto japo kweli ka Clip ni kafupi. Yaani ndo kaanza tu kuisikilizia na clip ndo inakata. Hovyooo!!!![]()