Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Mnaongelea nyama gani?Unakula nyama.. hadi ukiona Nyama mahali hutaki kuitizama![]()

Mnaongelea nyama gani?Unakula nyama.. hadi ukiona Nyama mahali hutaki kuitizama![]()

Siku ukija Misungwi nyama zitakuua. Na nyingine zitakaushwa uondoke nazo pamoja na ngozi ya ng'ombe nitakayekuchinjia...Yaani
Unajitahidi angalau umalize unashangaa zinaongezwa zingine
Kuna kahafla ka kuvunja kamati nilihudhuria nilikula nyama hadi nikasema enough is enough msiniue![]()
Hahahaha...Inaonyesha kwa hiyo sura ya mwanamke ilivyo jamaa anakaza t.ako nzito nzito zenye ujazo wa kutosha
Nyama zote unazozijua ShimbaMnaongelea nyama gani?![]()

Nije lini sasa?Siku ukija Misungwi nyama zitakuua. Na nyingine zitakaushwa uondoke nazo pamoja na ngozi ya ng'ombe nitakayekuchinjia...
Aisee hawatakuelewaKwani mliambiwa boyfriends ni wa kutatua matatizo yenu. Yetu atatue nani.
Nikikutongoza jua tu hilo nalo ni tatizo langu,so mengine ambayo huwezi kusolve namuambia Mungu.
Ukilia shika kichwa chako.
Sent using Jamii Forums mobile app