







Sometimes miujiza inatokea tu bila hata maombi,familia yangu tumewahi kutumia mtungi wa Gesi kg 15 kwa miaka mitatu toka 2017 hadi mwaka Jana 2020,hata sisi ilitushangaza,maana huwa haivushi miezi 4 au sita ,japo matumizi yalikuwa kwa vitu vidogo vidogo tu.Sisi kama nchi tunapitia wakati mgumu sana, niliwahi kusikiliza ibada flani cjui hata ya nani, mmama anasema tangu apeleke mtungi wake wa gas uombewe sasa ni mwaka wa tatu anatumia tuu
Nitakuwa wa mwisho kuamini labla mlikuwa mnachemsha chai mara moja kwa mweziSometimes miujiza inatokea tu bila hata maombi,familia yangu tumewahi kutumia mtungi wa Gesi kg 15 kwa miaka mitatu toka 2017 hadi mwaka Jana 2020,hata sisi ilitushangaza,maana huwa haivushi miezi 4 au sita ,japo matumizi yalikuwa kwa vitu vidogo vidogo tu.
Kama ni wimbo sasa ndo umefika kwenye korasi. Acha nimalizie malizie aisee...ila haya mambo ya kumiksi Red Bull, K Vant na mkongo sijui kwa kweli siyawezi...Utaja fia vifuani mwa wajukuu zako mzee mwenzangu. We tukia tu ulee wajukuu.
Mzembe? Unazijua gharama za kutunza na kusomesha litoto mpaka ligradyueti koleji tena koleji ya maana?Kumbe mzembe hivyo!! Hebu changamka ngosha.
Kama ni wimbo sasa ndo umefika kwenye korasi. Acha nimalizie malizie aisee...ila haya mambo ya kumiksi Red Bull, K Vant na mkongo sijui kwa kweli siyawezi...
View attachment 1977486





Ndio, na ndo uchangamke sasa uache uzembeMzembe? Unazijua gharama za kutunza na kusomesha litoto mpaka ligradyueti koleji tena koleji ya maana?

