Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,252
- 1,077,454
Siyo mfumo mzuri wala nini. Mwendazake hakuzijua siasa vizuri ndiyo maana miaka yote hii hakuweza kumng'amua ni nani alikuwa mole huko jikoni mpaka siri za moto zikawa zinavuja hovyo hovyo. Mama inaonekana siasa anazijua na kawarudisha akina Kigogo wote kwenye ulaji (Marope, Msoga gang etc) japo bado yule mbunge wa millet. Hatari sana siasa unaambiwa. Kulingana na unyeti wa siri zilizokuwa zikivuja tena kwa haraka ya kutisha, kuna hata wanaodai kuwa pengine hata mayū mwenyewe alikuwa kundini huko huko (rejelea ukaribu wake na Msoga Gang)...Mwendazake was alone na sitashangaa kama hata huko kwenda zake alisukumwa baada ya jamaa kupata kisingizio cha CovidMfumo wa kulinda taarifa wa bi mkubwa upo vzr sana jamaa aliturisha matango pori mwishowe kaona isiwe tabu
I believe kama angewaacha akina Kigogo na Msoga Gang wakala watakavyo...probably he would still be breathing today...
Politics is a dangerous game !!!