Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20211017_115612.jpg
 
Haileti mantiki maana kupunguza sensitivity kwenye kichwa hata kudindisha itakua tabu.
Bora niendelee na mbegu za maboga ambazo ni scientifically proven japo huchukua muda kabla kuanza kuona matokeo, ilinichukua miezi kadhaa, pia mbegu za mlonge au moringa seeds.
Maelezo kidogo namna ya kuzitumia izo mbegu z mlonge na maboga

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Maelezo kidogo namna ya kuzitumia izo mbegu z mlonge na maboga

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app

kwanza hapo Dar niliona zilikua zinauzwa sana hizo mbegu za maboga, unatafuna kawaida kama karanga, kunaye alikua anaziuza hapo bandarini nilikua nampigia sana, namba zake hizi +255718533414 +255786743938
Kwa moringa sina namba za niliyekua nanunua kutoka kwake ila na zenyewe nzuri sana. Unatafuna kama tano kwa siku, na uwe na subra maana matokeo yake ni baada ya miezi kadhaa kama mitatu hivi.
 
Back
Top Bottom