Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,930
- 136,692
Sisi kama nchi tunapitia wakati mgumu sana, niliwahi kusikiliza ibada flani cjui hata ya nani, mmama anasema tangu apeleke mtungi wake wa gas uombewe sasa ni mwaka wa tatu anatumia tuu






asee,kansa
.....aende ocean road akaombee

Bibi yangu inamtesa ya titi yaan




,vitoto hivi navyo