dem boyz
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 7,340
- 16,909
Mimi sana sana nachokumbuka ni lile godoro nililomnunulia sijui ntalipataje alale chini umbwa yule

Mimi sana sana nachokumbuka ni lile godoro nililomnunulia sijui ntalipataje alale chini umbwa yule



Chukulia kama vile ulitoa sadaka tu mkuuMimi sana sana nachokumbuka ni lile godoro nililomnunulia sijui ntalipataje alale chini umbwa yule![]()





dah!Hakuna anayeweza kulea moyo wa mwanamke. Hakuna!
View attachment 1976700
Sasa mtu unakumbuka godoro lako yeye anasema unamkumbuka yeye au niseme tu nachokumbuka???Chukulia kama vile ulitoa sadaka tu mkuu![]()

Dunia hii haina mbabe mtumishi. Na hao wanaojifanya wababe deep down they are the weakestUache ubabe sasa





Head TeacherDunia hii haina mbabe mtumishi. Na hao wanaojifanya wababe deep down they are the weakest![]()
Amesema watulivu ndiyo wanaweza kulea moyo wa mwanamke na sio wababe. Wewe umesema haiwezekani kabisa kulea moyo wa mwanamke; kwa nini?
















Jizazi 
Moyo wa mwanamke (hasa hawa wa siku hizi) hauleleki. Huwezi kulea moyo wa mwanamke ambaye yeye mwenyewe hajui anataka nini. Kisichojilea hakiwezi kuleleka! Ni kanuni ya jumla.Njoo uninong'oneze hiyo sababu basi
Moyo wa mwanamke (hasa hawa wa siku hizi) hauleleki. Huwezi kulea moyo wa mwanamke ambaye yeye mwenyewe hajui anataka nini. Kisichojilea hakiwezi kuleleka! Ni kanuni ya jumla.





Hatimaye umeonekana eeh! I hope everything is OK. Karibu tena aisee...


Asante sana SHIMBA YA BUYENZE ...... kila kitu kiko poa. shida ni kuna mjanja aliniotea akapita na simu ndio maana nilipotea ghafla.