Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Mimi TenaHadi wewe![]()
Mimi TenaHadi wewe![]()
Labda ni uzao wa wakorintho
Kwangu Imekubali. Ila wakistukia lazma waitoe.Nilishangaa mimi hii walizuia kuitumia eti.
Tatizo nini? Shemeji yangu anazingua nini?![]()
Kumbe lulu sio mhaya ni kyusa girl ona anavyo fanana na senga boy








Ndiyo maana SYB alisema huko juu kwamba Kiswahili na lugha zetu za kienyeji kwa warembo kama wewe ni mtihani.Mbona nimekamatikamwenzako ukinitafuta makosa kwenye kiswahili basi hapa ndio kwao sijuagi vizur

Sio kweliNdiyo maana SYB alisema huko juu kwamba Kiswahili na lugha zetu za kienyeji kwa warembo kama wewe ni mtihani.
Lugha zenu ni Kichina, Kispain, Kijerumani, Kifaransa, Ki Urdu nk.
Lugha za nyumbani Afrika tuachieni sisi Kabwela
Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app


mi naongea mpaka kimasai na kihadzabeHahahahahaAta kama usipojua kuimba,siye kigezo chetu ni kimoja tu,unachura?


, ati ana chura, loohChura wa dada zetu za nini ?Mtu utakuta dada zake nyumban hawana hizo chura harafu anataka MWANAMKE mwenye chura my wangu chura has got with agnesi masogange vimebaki vifaa vya kulaliae tu kama vp zaa wako tuone![]()
Ndio mnajua leo?




