Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Aisee ni kweli. Ni sawa sawa na mtu wa kokeini. Akitiwa lupango kidogo anapata ahueni na kama ana washauri wazuri wa saikolojia anaweza kuachana na uraibu huo kabisa.

Ban mimi nazipenda kwa sababu kusema kweli unapumzika na uraibu wa JF. Wiki moja ya kutoingia hapa kidogo nimeweza kutafakari mambo kadha wa kadha na kupumzika. Hizi memes nazo ni uraibu kwa kweli kwa sababu ukiiona nzuri mahali ni lazima uje kuiweka. Tunapoteza muda sana hapa kwenye JF yao japo pia ni kijiwe muhimu sana pia...

Nikichoka tena najua jinsi ya kujipatisha ban nitamkorofisha tu mods nitandikwe nyingine hata ya mwezi mzima. Wajukuu zangu wanajua mahali pa kunipata
.....
 
Ndiyo. Polepole tu mpaka mwaka huu ukaishe utakuwa ushakifahamu kabisa. Ila nyie maandaeitini lugha hizi za Kiafrika mnaziona za kishamba hazina thamani. Si ajabu hapo hata lugha ya kikwenu huifahamu. Kazaneni na maKingereza, Kifaransa na Kichina yenu huko
Wee me napenda kilugha sana na pia najua na baadhi ya lugha za makabila jilani kama 3 kifaransa kinanichanganya akili nakipenda ila kilikatishaga tamaa form two na pia naenjoy kujua lugha mbali mbali
 
Awe mrembo
FB_IMG_16341572690972752.jpg
 
Back
Top Bottom